Cybercrimes Act __________________________________________________________________ SHERIA YA MAKOSA YA MTANDAO, 2015 MPANGILIO WA VIFUNGU Kifungu Kichwa cha habari SEHEMU YA KWANZA MASHARTI YA AWALI 1. Jina na tarehe ya kuanza kutumika. 2. Matumizi. 3. Tafsiri. SEHEMU YA PILI MASHARTI YANAYOHUSIANA NA MAKOSA NA ADHABU 4. Kuingia kinyume cha sheria. 5. Kubaki katika mfumo wa kompyuta kinyume cha sheria. 6. Kuingilia mawasiliano kinyume cha sheria. 7. Kuingilia data kinyume cha sheria. 8. Ujasusi data. 9. Kuingilia mfumo kinyume cha sheria. 10. Kifaa kisicho halali. 11. Kughushi kunakohusiana na masuala ya kompyuta. 12. Udanganyifu unaohusiana na kompyuta. 13. Ponografia za watoto. 14. Ponografia. 15. Makosa yanayohusiana na utambuzi. 16. Kutoa taarifa za uongo. 17. Ubaguzi. 18. Matusi ya kibaguzi. 19. Mauaji ya kimbari. 20. Taarifa zinazotumwa bila ridhaa. 21. Kufichua taarifa za upelelezi. 22. Kuzuia upelelezi. 29

Select target paragraph3